Pages

Tuesday, January 15, 2013

WEMA SEPETU AACHIA LOGO YA KAMPUNI YAKE "Endless Fame Film. "

    
 Mwanadada machachari kutokea kwenye Industry ya Filamu Tanzania, Wema Sepetu kwa mara ya kwanza kupitia mtandao wa picha unaoitwa Instagram ameachia picha ambayo inaonesha ni logo ya kampuni yake mpya ya Endless Fame Film

Kampuni ambayo aliitangaza kipindi cha nyuma ambayo itakuwa inajihusisha na maswala ya filamu Tanzania.

 Sambamba na kuachia picha hiyo Wema amewataka Watanzania kumwombea Dua ili kufanikisha adhma yake hiyo ambayo itakuwa na msaada mkubwa kwenye sanaa ya filamu Tanzania na hata kuinua vipato vya Wasanii.

0 maoni:

Post a Comment

Labels