Pages

Tuesday, August 20, 2013

JAY Z KUFANYA SHOW UARABUNI NOVEMBA O1 2013

Kwa mara ya kwanza kabisa katika historia yake ya muziki, Rapper Jay Z anatarajia kufanya onyesho huko Uarabuni Abu Dhabi, Tarehe 1 mwezi November mwaka huu. Onyesho hili litakuwa ni katika kusindikiza mashindano maarufu ya magari ya Abu Dhabi Grand Prix, na kwa mujibu wa taarifa za chini chini, Mpunga wa kutosha tu umetumika kumchukua staa huyu kwaajili ya kupanda jukwaani siku hiyo.

Wasanii wengine ambao watakuwepo katika kufanya onyesho katika tukio hili ni pamoja na Amr Diab, Elissa, Hussain Al Jassmi, Bendi ya Muse kutoka Uingereza na kundi la Depeche Mode kutoka Uingereza pia.

0 maoni:

Post a Comment

Labels