Pages

Tuesday, August 27, 2013

DIAMOND AIBA WIMBO WA DAYNA ANATAKA KUACHIA HIVI KARIBUNI ''NAMBA 1''


Baada ya tuhuma za kuiba wimbo wa H.Baba na Pasha, nataka kulewa. 

Msanii  Naseeb Abdul Diamond Platnum, ameingia tena ndani ya tuhuma baada ya kusadikiwa wimbo anaotaka kuuachia wa No.1 ni wa Dayna.

Inasemekana awali Dayna alimtaka Diamond wakafanye wimbo kwa Shedy, Diamond akakubali, akaskiliza mdundo na kumuahidi Dayna kwamba wangefanya wote. 

Lakini baadae Diamond akamrubuni Shedy na kumwambia ile bit ampe na aachane na kazi ya Dayna.

hii ni demo ya wimbo wa Dayna ambao unafanana kila kitu na wimbo wa Diamond anaotaka kuachia. skiliza na pia waweza ku share na wenzio.

CHANZO:-CHUMA BLOG

1 maoni:

  1. Diamond ni kazi yake kuiba nyimbo za wenzie

    ReplyDelete

Labels