Pages

Tuesday, August 20, 2013

Wasanii waungana kutokomeza zero mashuleni FA, Stamina,Roma, Kalla Jeremiah Mwasiti, Linex,Petter Msechu.

Wasanii wa hiphop na bongo fleva wakutana na kutengeneza wimbo maalumu "Tokomeza zero" kwa ajili ya kyhamasisha wanafunzi mashuleni kupenda shule, kuithamini elimu, mwisho wa siku kuitokomeza zero.
Wimbo huo umeandikwa na Ditto na kutayarishwa na producer Tudd Thomas na kufanywa na wasanii kama, Lina, stamina, Mwasiti, FA, Linex, Roma, Diamond, Maunda Zorro, Petter Msechu, Keisher na Kalla Jeremiah.

0 maoni:

Post a Comment

Labels