Pages

Wednesday, August 21, 2013

SUGU KUACHIA NGOMA MPYA

Mheshimiwa Mbunge wa Jimbo la Mbeya Mjini Joseph Mbilinyi ‘Mr ii Sugu ‘anatarajia kutoa ngoma yake mpya hivi karibuni iitwayo barua kwa Rais Jakaya Mrisho Kikwete Waraka 2.
Akiandika kupitia page yake ya facebook alisema kuwa yuko kwenye maandalizi ya kuandaa ngoma hiyo mpya ambayo inakuja ikiwa ni muendelezo wa ngoma ya kwanza iitwayo waraka Kwa Rais Mstaafu Benjamin Mkapa Miaka kadhaa iliyopita, kwa sasa ni Rekodi mpya ambayo ni barua Kwa Rais Jakaya Mrisho Kikwete, Waraka No 2.
‘Niko kwenye maandalizi ya kurekodi track yangu mpya inaitwa barua kwa rais-waraka 2’alisema Sungu.

0 maoni:

Post a Comment

Labels