Pages

Monday, March 11, 2013

BREAKING NEWS: FIFA YAIFUNGIA TANZANIA

Taarifa zilizoingia hivi punde kutoka kwenye chanzo cha habari kutoka TFF ni kwamba shirikisho la kimataifa la soka duniani FIFA limeifungia Tanzania kwenye mashindano yote ya kimataifa yaliyo chini. Kwa taarifa zaidi endelea kufuatilia mtandao huu.
 

0 maoni:

Post a Comment

Labels