Pages

Wednesday, March 13, 2013

Hemedy apewa mkataba mnono na kampuni kufanya movie 7 kwa mwaka


Muigizaji wa filamu nchini Hemedy Suleiman aka PHD amekula shavu la nguvu la kupewa mkataba na kampuni moja ya usambazaji nchini kuigiza filamu saba kwa mwaka.

0 maoni:

Post a Comment

Labels