Pages

Sunday, March 17, 2013

WAKAZI Keeps It REAL With NEY WA MITEGO's New Track.

 
Jana kupitia mtandao wa Twitter, rapper kutoka UKONGA/Chicago, WAKAZI alitweet na kuandika anachoona kuhusu wimbo mpya wa NEY WA MITEGO "Muziki Gani"...
Wakazi alitoa opinions kuhusu wimbo huo wa Ney aliomshirikisha mwimbaji mzuri na anaefanya vizuri kwenye muziki kwa sasa, Diamond Platnumz na kuuita "Pumba Tupu"...
Imekuwa ni discussion kubwa katika mtandao huo so far ikimuhusisha mmoja wa waanzilishi wa Kundi la Hip-Hop, KWANZA UNIT "Zavara Rhymson" ikiukandia wimbo huo and mostly ikisema zaidi Ney Wa Mitego si msanii wa Hip-Hop...
See more tweets za WAKAZI aki-diss wimbo:

"Its a cry for attention"

"Kwanza Idea sio original" Na Ney ha represent Hip Hop, labda Rap" #DEAD

"Upuuzi!!"

_______________________________

0 maoni:

Post a Comment

Labels