Baada ya kutesa kwa takribani miezi sita na joint lake "Dear God',
kwenye chati za radio na Tv stations mbali mbali, akishika nafasi ya
kwanza, leo hii ameamua kudondosha joint nyingine ya pili kutoka kwenye
albaum yake hiyo (pasaka), joint inayoitwa KARIBU DAR akiwa
amemshirikisha mkali wa R&B bongo Ben Pol, mkono ukiwa wa producer
Mbezi.
สมัคร wing888 VIP เว็บตรงคุณภาพสูง และบริการคุณภาพ
2 months ago
0 maoni:
Post a Comment