Pages

Wednesday, October 30, 2013

AUDIO | DAMIAN SOUL feat. JOH MAKINI "NI PENZI" Coming Soon


A
Mkali wa miziki ya Soul bongo anajulikana kwa jina la Damian Soul anatarajia kuja na wimbo wake mpya alioupa jina la NI PENZI akiwa amemshirikisha mkali mwingine wa Hip Hop bongo anayetokea kundi la WEUSI anajulikana kwa jina la Joh Makini.
 
Damian anawaomba mashabiki wake wampokee kwa ujio huu mpya na anaamini hatowaangusha.

0 maoni:

Post a Comment

Labels