Pages

Friday, October 04, 2013

MDOGO WAKE DIAMOND NAYE AAMUA KUMPA SALAAM NAY WA MITEGO,ANAMUITA DADA NEEMA!!!



Hii ni kali hata kuliko ule wa Diamond kabla hajatoka.Dogo anamuita Nay wa Mitego Dada Neema wa Manzese Darajani na aache kujishaua ashatolewa barua.Mchumba wake ni CHIDI Benzi na mshenga ni Dully Sykes.Anajichora maua kwa kuwa ni Bibi Harusi mtarajiwa.


Anashangaa anajiita Nay wakati wazazi wake walimpa jina la Neema.Kiukweli dogo kaua ajabu.Nay akimkamata sijui itakuaje.Ni bonge moja la ngoma na sina mbavu kwa kweli.Isikilize hapa Chini na kuidownload.
 

0 maoni:

Post a Comment

Labels