Pages

Monday, October 21, 2013

PROF JAY:-Leo nimekabidhiwa BARCODE yangu na shirika la GS1 TANZANIA.

Leo nimekabidhiwa BARCODE yangu na shirika la GS1 TANZANIA.
Hii itaniwezesha kuweza kutanua zaidi wigo wa soko la Muziki wangu na kuwafikia mashabiki wangu sehemu mbali mbali duniani na Quality ya juu zaidi, kwa wale wote waliokuwa wakiniulizia watapataje muziki wangu wa zamani na wa sasa tena kwa kiwango cha juu kabisa kaeni mkao wa kula....MUNGU AWABARIKI SANA!!

0 maoni:

Post a Comment

Labels