Pages

Thursday, October 10, 2013

Tarehe na Sehemu Ambapo Ndoa ya Peter Okoye wa P Square Itafanyika Yatajwa

Lola & Peter Okoye
Memba wa kundi la P-Sqaure aitwaye Peter Okoye na mchumba wake Lola wanategemea kufunga ndoa ya jadi mnamo November 17, 2013, pande za Arc Events Centre, ndani ya jiji la Lagos huku ndoa yao ya kishua ikitegemea kufanyika baadae mwakani kwenye tarehe ambayo haijapangwa.

Kwa mujibu wa NigeriaFilms, muwakilishi wa kundi la P-Square amethibitisha juu ya hilo pale alipofanya mawsiliano kwa njia ya mtandao.
 
Mipango ya harusi hiyo inazidi kuendelea ktika kuifanya siku hiyo ya kuwa moja kati ya ndoa kukumbukwa.
 
Awali imeelezwa kwamba Peter Okoye alipendekeza jambo hilo kwa Lola Omotayo akimnunulia gari mpya aina ya Range Rover SUV mwanzoni mwezi August 2013.
 

0 maoni:

Post a Comment

Labels