Pages

Saturday, October 19, 2013

HEMEDY PHD AWAOMBA LADHI FANS WAKE KWA KUTOONEKA MR BLUE KWENYE VIDEO YA WIMBO WA REST OF MY LIFE.

The Hit Maker wa Track ya Rest Of My Life nazingine Kibao ''Hemedy PHD'' Aliyomshirikisha Mr Blue Amewaomba Ladhi Mashabiki wake kwa Kutooneka Mr Blue kwenye Video ya Wimbo Huo ambayo imeachiwa Rasmi Leo.
vlcsnap-2013-10-19-03h05m31s118
vlcsnap-2013-10-19-03h05m36s188
vlcsnap-2013-10-19-03h05m44s24
vlcsnap-2013-10-19-03h05m58s145
vlcsnap-2013-10-19-03h07m24s231
vlcsnap-2013-10-19-03h07m39s131
vlcsnap-2013-10-19-03h07m54s28
vlcsnap-2013-10-19-03h08m00s101
vlcsnap-2013-10-19-03h08m05s139
vlcsnap-2013-10-19-03h10m03s35
vlcsnap-2013-10-19-03h10m20s195

Hemedy amesema kuwa Kutokana na Mr Blue Kuwa na Tour nyingi nje ya Nchi ndiyo sababu kubwa iliyofanya Mr Blue kutoonekana kwenye Video hiyo hii nikutokana na yeye Kutaka kuwahi kuitoa Video Hiyo.


PHD Ameongeza Kuwa Licha ya Video hiyo kutoka lakini atafanya Version ya Pili ambayo itamuhusisha Mr Blue na inatarajiwa kuanza kufanyika mapema kabla ya Mwaka Huu Kuisha itakuwa Tayari imetoka.

Akipiga Stori katika Kipindi Cha BEST REQUEST...online www.bestfm.co.tz kinachorushwa na BEST FM ya Mkoani Njombe wilaya ya Ludewa amesema anampango wa Kurelease New Joint nyingine ambayo amemshirikisha Bi - Dadakuwa na Mapema Mwazoni mwa Mwaka 2014 ataachia Filamu yake ambayo kwasasa Inafanyiwa uhariri/Editing.

0 maoni:

Post a Comment

Labels