Pages

Sunday, November 25, 2012

MONALISA NA KANUMBA WANG'ARA TUZO ZA BAB KUBWA.

Steven Kanumba Yvonne Cherryl
Picha ya pamoja Monalisa akiwa na marehemu Kanumba.

ILIKUWA Jumapili tulivu katika kiwanja maarufu cha Maisha Club Masaki pale Jarida la Bab Kubwa lilivyowatunuku wasanii wa filamu kutoka Swahiliwood Tuzo za heshima kwa mwaka 2012, wasanii waliolamba turufu walikuwa ni Yvonne Cherryl na marehemu Steven Kanumba.
.
Steven Kanumba
Kanumba  mwigizaji      bora 2012
Yvonne Cherryl
Monalisa

0 maoni:

Post a Comment

Labels