Pages

Thursday, November 29, 2012

TAARIFA KUTOKA HATUA MEDIA COMPANY LTD. HAMECO)


HATUA MEDIA COMPANY LTD. HAMECO)



Kutakuwa na Kikao Maalum kwa ajili ya Kuzungumzia Masuala kadhaa ambayo yanatakiwa kufanyika kwa Muda Huu

Wanachama wote wa HAMECO Mnaombwa kuhudhuria hasa kwa Wale ambao Wapo Dar es Salaam. 



Kwa Wale ambao Tuko Mikoani kama kuna uwezekano wa Kuhudhuria, itakuwa Ni Vema zaidi maana Mchango wenu ni Muhimu Zaidi



SIKU YA KIKAO:

Kikao Kitafanyika Siku ya JUMAMOSI ya Tarehe 01 December 2012 



MUDA : Saa 9 : 00 Alasiri



MAHALI : Yombo Vituka, Nyumbani kwao FRANK M. J.



DHUMUNI LA KIKAO :

Kutafakari na Kurejea Maazimio ya @[100002019027935:2048:Kampuni] Ya HAMECO, Pamoja na Kuandaa Mikakati kwa ajili ya Kuiboresha Zaidi Kampuni. 



Tafadhari, unaombwa Kuhudhrioa Bila Kukosa
Kutakuwa na Kikao Maalum kwa ajili ya Kuzungumzia Masuala kadhaa ambayo yanatakiwa kufanyika kwa Muda Huu

Wanachama wote wa HAMECO Mnaombwa kuhudhuria hasa kwa Wale ambao Wapo Dar es Salaam.

...
Kwa Wale ambao Tuko Mikoani kama kuna uwezekano wa Kuhudhuria, itakuwa Ni Vema zaidi maana Mchango wenu ni Muhimu Zaidi

SIKU YA KIKAO:

Kikao Kitafanyika Siku ya JUMAMOSI ya Tarehe 01 December 2012

MUDA : Saa 9 : 00 Alasiri


MAHALI : Yombo Vituka, Nyumbani kwao FRANK M. J.


DHUMUNI LA KIKAO :

Kutafakari na Kurejea Maazimio ya Kampuni Ya HAMECO, Pamoja na Kuandaa Mikakati kwa ajili ya Kuiboresha Zaidi Kampuni.

Tafadhari, unaombwa Kuhudhuria Bila Kukosa


0 maoni:

Post a Comment

Labels