Pages

Saturday, December 22, 2012

Mwanamuziki kutoka Nigeria, Goldie Harvey ashinda tuzo kubwa za Nigeria Music Video Awards [NMVA]

       
 Mwanamuziki kutoka Nigeria, Goldie Harvey ashinda tuzo kubwa za Nigeria Music Video Awards [NMVA] huko Nigeria.  

Goldie ameshinda tuzo hiyo ambapo alikuwa kwenye kipengele cha Utumiaji mzuri wa mavazi [Best Use Of Costumes] kupitia ngoma yake ya Say My Name.

Katika tuzo hizo, Goldie ambae pia ni alikuwa ni mshiriki wa Big Brother Africa [Star Game] iliyopita, alikuwa anashindanishwa kwenye tuzo hiyo na wasanii wengine watatu kutoka hapo hapo Nigeria.

0 maoni:

Post a Comment

Labels