Pages

Tuesday, December 11, 2012

KUNDI JIPYA"MASHOSTIZI" AMBALO LIPO CHINI YA PRODUCER LAMAR

Producer kutoka katika Label ya Fishcrab Audio Station maarufu kama Lamar, siku zilizopita baada ya kutangaza katika vyombo mbalimbali vya habari kwamba anatafuta wasichana ambao wenye uwezo wa kuimba ili aweze kufanya nao kazi katika studio yake,hatimaye amefanikio kupata wasichana watatu ambao ni Nuru,Salma na Menyinah.

Katika mazungumzo lamar alisema kwamba kwasasa kundi hilo limeshamaliza kutengeneza ngoma yao mpya ila wapo katika mchakato wa kuandaa video yao mpya chini ya Director Adamu juma.



0 maoni:

Post a Comment

Labels