Moja ya scene za kwenye video ya 'Nataka kulewa' |
Kabla haujaiona video
kamili inayosubiriwa kwa hamu na wapenzi wa Bongo flavor ya Diamond
Platnumz "Nataka kulewa", hebu kwanza jionee video ya matukio yaliyojiri
wakati wa utengenezwaji wa video hiyo iliyokamilishwa na kampuni ya
I-View Studios chini ya director ambae pia ni manager wa Diamond
anaefahamika kama Raqey Mohamed.
Pia msikilize Diamond mwenyewe akizungumzia mambo mbalimbali yanayohusu wimbo na video hiyo ikiwa ni pamoja na sababu za yeye kuchagua kuuandika wimbo huo, sababu za kumchagua video model waliemtumia anayeitwa Jackie Cliff na sababu za mavazi aliyoyatumia. Tazama hapa behind the scene...www.leotainmenttz.com/2012/12/teaser-angalia-behind-scene-ya.html
Pia msikilize Diamond mwenyewe akizungumzia mambo mbalimbali yanayohusu wimbo na video hiyo ikiwa ni pamoja na sababu za yeye kuchagua kuuandika wimbo huo, sababu za kumchagua video model waliemtumia anayeitwa Jackie Cliff na sababu za mavazi aliyoyatumia. Tazama hapa behind the scene...www.leotainmenttz.com/2012/12/teaser-angalia-behind-scene-ya.html
0 maoni:
Post a Comment