Tamasha la tano la KILIMANJARO MTIKISIKO 2012 jumamosi ya wiki iliyopita ya Dec mosi lilifikia tamati Iringa mjini katika viwanja vya SAMORA.
STAGE
WATU WAKIFATILIA GAME HAPOHAPO UWANJANI
CROWD..
Hili
ni TAMASHA linalofanyika kila mwaka chini ya EBONY ENTERTAINMENT, Radio
EBONY FM inayosikika katika mikoa yote ya NYANDA ZA JUU KUSINI na kwa
udhamini mkubwa wa TBL kupitia bia yake ya KILIMANJARO PREMIUM LAGER
ambapo mwaka huu limevunja rekodi ya kujaza uwanja wa mpira wa SAMORA
kwa kuhudhuriwa na mashabiki na wapenda burudani wa mikoa ya Nyanda Za
Juu zaidi ya 15,000.
WATU...
DJ MUBA
JB TOKA MABAGA FRESH
Mbali na wasanii kutoka katika mikoa ya Nyanda Za Juu...wasanii
waalikwa kutoka Dar-es-Salaam waliofanikiwa kukonga nyoyo za mashabiki
hao ni pamoja na ROMA, PROF JAY, IZZO B, DARASA, STAMINA, BOB JUNIOR,
QUICK ROCKA, KALA JEREMIAH, JUMA NATURE, GANGWE MOBB, MABAGA FRESH, NEY
WA MITEGO, MR. BLUE, BELLE 9 na wengine kibao.
IZZO B
STAMINA
DARASA
KILIMANJARO MTIKISIKO 2012 lilianzia katika mji mdogo wa MAKAMBAKO kwa
mbili, ya kwanza katika viwanja vya AMANI na baadae kwenye ukumbi wa
GREEN CITY HALL, baada ya MAKAMBAKO likafanyika jijini MBEYA kwenye
viwanja vya CITY PUB na jumamosi wiki iliyopita limemalizika katika
viwanja vya SAMORA mjini Iringa.
DARASA
DARASA
SUMA MNAZARETI
KALA JEREMIAH
DJ ALI-B
D.N.A. TOKA KENYA
D.N.A...ASANTE IRINGAAAA..
NEY WA MITEGO
NEY
BOB JUNIOUR
BELLE 9
R.O.M.A.
DAZ BABA
IZZO B
KALA JEREMAH
GODZILLA
DNA
NEY WAMITEGO
0 maoni:
Post a Comment