Pages

Tuesday, December 04, 2012

MENEJA WA TIP TOP CONNECTION ASEMA SABABU ZA WAO KUINGIA KATIKA UTENGENEZAJI FILAMU NA PIA KUHUSU MSANII MPYA WA TIP TOP



Hivi karibuni  Meneja wa kundi la Tip Top Connection Babu Tale alisema kuwa hivi sasa pia kundi hilo litakuwa ni kampuni na mbali na muziki pia litakuwa likijishughulisha na utengenezaji filamu.

Babu Tale amezungumzia sababu za kufanya hivyo na pia amemzungumzia msanii mpya wa kundi hilo ambaye anarap

0 maoni:

Post a Comment

Labels