Hivi karibuni Meneja wa kundi la Tip Top Connection Babu Tale alisema kuwa hivi sasa pia kundi hilo litakuwa ni kampuni na mbali na muziki pia litakuwa likijishughulisha na utengenezaji filamu.
Babu Tale amezungumzia
sababu za kufanya hivyo na pia amemzungumzia msanii mpya wa kundi hilo
ambaye anarap
0 maoni:
Post a Comment